Translate

Hillary Clinton atoa maelezo zaidi kuhusu afya yake





Mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Democratic, nchini Marekani, Bi Hillary Clinton, ametoa maelezo zaidi kuhusu jinsi alivyougua ugonjwa wa kichomi.

Taarifa kutoka kwa makao makuu ya kampeni yake, imesema kuwa, Bi Clinton, anaugua ugonjwa wa kichomi ambao hauwezi kusambazwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Wakati huo huo mgombea wa chama cha republican, Donald Trump, amekiambia kituo kimoja cha runinga kuwa uchunguzi wa madaktari wa hivi karibuni ulibainisha kuwa ameongeza uzani wake ila yuko buheri wa afya.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment